Matukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua
KBC Digital·(Updated 11 Jul 2023)

Maafisa wa polisi katika eneo la Lango baya kaunti ya Kilifi waliopuuza ripoti zinazohusu shughuli za kutatanisha za Mchungaji Paul Mackenzie katika msitu wa Shakahola watachukuliwa hatua.
Waziri wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki alisema kuwa serikali itashughulikia kesi hiyo kuanzia wakati Mackenzie alikamatwa mwaka wa 2017.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital
Writes about podcasts for KBC Digital.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
More on matukio ya taifa
PodcastsMatukio ya Taifa: Barabara na mipaka duni husababisha ukosefu wa usalama Turkana
·KBC Digital·Updated
matukio ya taifaPolice
PodcastsMatukio ya Taifa: Serikali iongeza ushuru kwa bidhaa za tumbako, wanaharakati wahimiza
·KBC Digital
matukio ya taifaRadio Taifa
PodcastsMatukio ya Taifa: Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wa kufutilia mbali sheria ya fedha 2023
·KBC Digital
matukio ya taifaRadio Taifa
PodcastsMatukio Ya Taifa: Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti
·KBC Digital·Updated
alshabaabFrance
