Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua

KBC Digital·(Updated 11 Jul 2023)
Matukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua

Maafisa wa polisi katika eneo la Lango baya kaunti ya Kilifi waliopuuza ripoti zinazohusu shughuli za kutatanisha za Mchungaji Paul Mackenzie katika msitu wa Shakahola watachukuliwa hatua.

Waziri wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki alisema kuwa serikali itashughulikia kesi hiyo kuanzia wakati Mackenzie alikamatwa mwaka wa 2017.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital