Matukio ya Taifa: Barabara na mipaka duni husababisha ukosefu wa usalama Turkana
KBC Digital·(Updated 25 Sept 2023)

Naibu Inspekta Jenerali wa polisi Gitivo Mwita ametaja ukosefu wa barabara na mipaka dhabiti Kaunti ya Turkana kuwa chanzo kuu cha ukosefu wa usalama katika eneo hilo. Maonyesho ya kimataifa ya biashara yameanza rasmi katika uwanja wa jamhuri jijini nairobi. Ambapo zaidi ya wawakilishi wa kampuni 350 katika sekta mbali mbali wamekita vibanda vyao kwenye maonyesho hayo yaliyoanza leo.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital
Writes about podcasts for KBC Digital.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
More on matukio ya taifa
PodcastsMatukio ya Taifa: Serikali iongeza ushuru kwa bidhaa za tumbako, wanaharakati wahimiza
·KBC Digital
matukio ya taifaRadio Taifa
PodcastsMatukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua
·KBC Digital·Updated
matukio ya taifaPastor Paul Mackenzie
PodcastsMatukio ya Taifa: Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wa kufutilia mbali sheria ya fedha 2023
·KBC Digital
matukio ya taifaRadio Taifa
PodcastsMatukio Ya Taifa: Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti
·KBC Digital·Updated
alshabaabFrance
