Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Barabara na mipaka duni husababisha ukosefu wa usalama Turkana

KBC Digital·(Updated 25 Sept 2023)
Matukio ya Taifa: Barabara na mipaka duni husababisha ukosefu wa usalama Turkana

Naibu Inspekta Jenerali wa polisi Gitivo Mwita ametaja ukosefu wa barabara na mipaka dhabiti Kaunti ya Turkana kuwa chanzo kuu cha ukosefu wa usalama katika eneo hilo. Maonyesho ya kimataifa ya biashara yameanza rasmi katika uwanja wa jamhuri jijini nairobi. Ambapo zaidi ya wawakilishi wa kampuni 350 katika sekta mbali mbali wamekita vibanda vyao kwenye maonyesho hayo yaliyoanza leo.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital