Matukio ya Taifa: Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wa kufutilia mbali sheria ya fedha 2023
KBC Digital·

Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wake wa kufutilia mbali sheria ya fedha ya mwaka wa 2023.
Jaji wa Mahakama ya Juu Mugure Thande amesema kuwa walalamishi wamethibitisha kuwa wana kesi na kuongeza kuwa ikiwa amri hizo zingeondolewa, athari zake zitawaathiri wananchi.
Aidha Jaji mMugure ameagiza faili hiyo ipelekwe kwa jaji mkuu Martha Koome, ili kuteua majaji watatu ambao watasikiliza na kuamua kesi hiyo.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital
Writes about podcasts for KBC Digital.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
More on matukio ya taifa
PodcastsMatukio ya Taifa: Barabara na mipaka duni husababisha ukosefu wa usalama Turkana
·KBC Digital·Updated
matukio ya taifaPolice
PodcastsMatukio ya Taifa: Serikali iongeza ushuru kwa bidhaa za tumbako, wanaharakati wahimiza
·KBC Digital
matukio ya taifaRadio Taifa
PodcastsMatukio ya Taifa: Polisi waliopuuza ripoti zilizohusu Paul Mackenzie kuchukuliwa hatua
·KBC Digital·Updated
matukio ya taifaPastor Paul Mackenzie
PodcastsMatukio Ya Taifa: Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti
·KBC Digital·Updated
alshabaabFrance
