Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wa kufutilia mbali sheria ya fedha 2023

KBC Digital·
Matukio ya Taifa: Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wa kufutilia mbali  sheria ya fedha 2023

Mahakama Kuu imeshikilia uamuzi wake wa kufutilia mbali sheria ya fedha ya mwaka wa 2023.

Jaji wa Mahakama ya Juu Mugure Thande amesema kuwa walalamishi wamethibitisha kuwa wana kesi na kuongeza kuwa ikiwa amri hizo zingeondolewa, athari zake zitawaathiri wananchi.

Aidha Jaji mMugure ameagiza faili hiyo ipelekwe kwa jaji mkuu Martha Koome, ili kuteua majaji watatu ambao watasikiliza na kuamua kesi hiyo.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital