Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio Ya Taifa: Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti

KBC Digital·(Updated 1 Jul 2023)
Matukio Ya Taifa: Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti

Kenya kuanza kuunda simu za rununu mwezi agosti mwaka huu; Vituo 130 vya kuuza vileo katika kaunti ya meru vyafungwwa huku msako ukiendelezwa nchini; Wakazi wa kaunti ya lamu waombwa kushirikiana na polisi kuangamiza kundi la Alshabaab; na Kwenye rubaa za kimataifa: Rais wa ufaransa emmanuel macron aandaa kikao na baraza lake la mawaziri kujadili machafuko yanayoshuhudiwa nchini.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital