Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Viongozi wa dini chini wametaka kujumuishwa kwenye mazungumzo ya maridhiano

KBC Digital·(Updated 11 Aug 2023)
Matukio ya Taifa: Viongozi wa dini chini wametaka kujumuishwa kwenye mazungumzo ya maridhiano

Viongozi wa dini chini wametaka kujumuishwa kwenye mazungumzo ya maridhiano yanayosubiriwa kuanza juma lijalo. Baraza la makanisa nchini,na lile la maskofu wa kanisa katoliki na pia baraza la wahubiri wakiislamu, wametaja uhaba wa ajira, utangamano wa taifa na kuboreshwa kwa huduma za serikali za kaunti kama matakwa yao makuu watakyowaslisha kwenye vikao hivyo.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital