Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Raila Odinga amezitaka serikali za kaunti kushirikiana na serikali kuu

KBC Digital·
Matukio ya Taifa: Raila Odinga amezitaka serikali za kaunti kushirikiana na serikali kuu

Kinara wa Azimio One Kenya Raila Odinga amezitaka serikali za kaunti kushirikiana na serikali kuu ili kuafikia malengo ya ugatuzi; Raila amesema ugatuzi umechangia pakubwa ukuaji wa taifa, Pamoja na kuinua uchumi wa gatuzi humu nchini; and Visa vya watoto wachanga kuendelea kudhulumiwa kimapenzi na jamaa wao wa karibu vinaendelea kuongezek Kaunti ya Busia.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital