Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Hisia tofauti zaibuka kuhusu mazungumzo kati ya Kenya Kwanza na Azimio

KBC Digital·(Updated 8 Aug 2023)
Matukio ya Taifa: Hisia tofauti zaibuka kuhusu mazungumzo kati ya Kenya Kwanza na Azimio

Hisia mseto zinaendelea kuibuka kuhusu mazungumzo yaliyosubiriwa kwa muda mrefu kati ya muungano wa Kenya Kwanza na ule Azimio la Umoja. Haya yanajiri huku upinzani ukidai kwamba wenzao katika mrengo wa serikali hawajaonyesha nia njema katika mazungumzo hayo.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital