Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupokea HELB moja kwa moja

KBC Digital·
Matukio ya Taifa: Wanafunzi wa Vyuo Vikuu kupokea HELB moja kwa moja

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini sasa wataanza kupokea mgao wao wa HELB moja kwa moja kinyume na awali walivyokuwa wakizipokea kupitia vyuo vikuu; watu wasiojulikana wamevamia familia moja na kumnajisi msichana wao wa umri wa 14 katika kijiji cha Kajoro kaunti ndogo ya Namable huko Busia.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital