Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: Waalimu 37 na Polisi 30 wauawa na Alshabaab tangu 2013

KBC Digital·(Updated 2 Aug 2023)
law

Takriban walimu 37 wameuwawa na magaidi wa Alshaabab na maafisa 30 wa Polisi tangu mwaka 2013. Akitoa takwimu hizo Waziri wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki, anasema wanamgambo wa Alshaabab wamekuwa tatizo kuu kwa usalama wa wakenya hasaa wanaoishi katika kaunti zilizoko mipakani mwa Kenya na Somalia.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital