Matukio ya Taifa: Vikao vya mazungumzo ya maridhiano yakitarajiwa kuanza
KBC Digital·

Vikao vya mazungumzo ya maridhiano yakitarajiwa kuanza, wachanganuzi wa masuala ya kisiasa wametaka kuzingatiwa kwa baadhi ya masuala yaliyoibuliwa na mirengo ya Azimio na Kenya Kwanza ili kuimarisha uchumi wa nchi.
Mwishoni mwa juma pande hizo mbili ziliafikiana kuunda kamati ya watu watano kila upande ili kujadili masuala muhimu miongoni mwao uundwaji upya wa tume ya uchaguzi na uratibu wa mipaka IEBC, Kubuniwa kwa afisi ya upinzani miongoni mwa maswala mengine.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital
Writes about podcasts for KBC Digital.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
More on Azimio leader Raila Odinga
Local NewsRaila intensifies campaign for AUC chairmanship bid
·Margaret Kalekye·Updated
AUCAzimio leader Raila Odinga
Local NewsToe the line or ship out, Raila tells ODM leaders
·KBC Digital
Azimio leader Raila OdingaODM Party
PodcastsMatukio ya Taifa: Raila Odinga amezitaka serikali za kaunti kushirikiana na serikali kuu
·KBC Digital
Azimio la Umoja coalitionAzimio leader Raila Odinga
PodcastsNewsline: Odinga calls for collaboration between county and national governments
·KBC Digital
Azimio leader Raila OdingaCounty Governments
