Zinga: Robert Alai atetea nyongeza ya mshahara kwa wawakilishi wadi
KBC Digital·(Updated 1 Aug 2023)

Wawakilishi wadi humu nchini wanalalamikia nyongeza ya mshahara wao ambao wanadai hautoshi. Baadhi ya Viongozi hawa vile vile wamesitisha vikao vyao kudai maslahi yao huku wakitaja pendekezo la nyongeza la shilingi 10,000 kutoka kwa tume ya kuratibu mishahara nchini SRC kama kejeli, Hii leo tunaye mwakilishi wadi wa Kileleshwa bwana Robert Alai kuweka wazi swala hili, Mbona wawakilishi wadi wadai nyongeza ya mshahara wakati gharama ya maisha ipo Juu?
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital
Writes about podcasts for KBC Digital.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
