Kenya Broadcasting Corporation
Podcasts

Matukio ya Taifa: World Coin ilivunja sheria ya Kenya

KBC Digital·(Updated 10 Aug 2023)
Matukio ya Taifa: World Coin ilivunja sheria ya Kenya

Kampuni ya sarafu ya ulimwengu ilikiuka sheria za usajii wa data na washukiwa wa mradi huo watakailiwa kisheria. Hayo ni kulingana na waziri wa usalam wa ndani Kithure Kindiki na mwezake wa mawasiliano, teknolojia na uchumi wa kidijitali Eliud Owalo, walipofika mbele ya bunge kujieleza.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital

KBC Digital

Writes about podcasts for KBC Digital.

Rent this spaceAdvertise with KBC Digital