Matukio ya Taifa: Raila Odinga amezitaka serikali za kaunti kushirikiana na serikali kuu

Written by

in

Kinara wa Azimio One Kenya Raila Odinga amezitaka serikali za kaunti kushirikiana na serikali kuu ili kuafikia malengo ya ugatuzi; Raila amesema ugatuzi umechangia pakubwa ukuaji wa taifa, Pamoja na kuinua uchumi wa gatuzi humu nchini; and Visa vya watoto wachanga kuendelea kudhulumiwa kimapenzi na jamaa wao wa karibu vinaendelea kuongezek Kaunti ya Busia.