Matukio ya Taifa: Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma mteule Renson igonga kufuata kanuni za utumishi wa umma
KBC Digital·

Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma mteule Renson Mulele igonga aahidi kuzingatia Maadili na kanuni za utumishi wa umma; Serikali yahimizwa kuidhinisha mswada wa mwaka wa 2022 wa haki za walio na ulemavu chini ya sheria za kimataifa za umoja wa mataifa; na mpango wa kujengwa kwa vituo elfu 25 vya mitandao almaarufu wifi waendelea kushika kasi.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
Categories:Podcasts
Tags:Renson Igonga
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital
KBC Digital
Writes about podcasts for KBC Digital.
Rent this spaceAdvertise with KBC Digital

