Zinga: Edward Mwasi asisitiza umuhimu wa kusherehekea Madaraka

Written by

in

Kenya inasherehekea miaka 60 ya kujitawala yaani Madaraka Dei. Je, ni muhimu? Rashid Mwamkondo Na Dorah Manya wamhoji Edward Mwasi Mkurugenzi Mkuu wa Kenya Yearbook.