Watu zaidi ya sita wamejeruhiwa kufuatia shambulizi la kigaidi eneo la nyongiro katika barabara ya witu kuelekea Garseni alfajiri ya kuamkia leo.
Matukio ya Taifa: Watu sita wajeruhiwa Lamu baada ya shambulizi la kigaidi


Watu zaidi ya sita wamejeruhiwa kufuatia shambulizi la kigaidi eneo la nyongiro katika barabara ya witu kuelekea Garseni alfajiri ya kuamkia leo.